RC MAKALLA ATAKA WAKANDARASI KUKAMILISHA MIRADI KWA WAKATI.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amewataka Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya Ujenzi wa Barabara za DMDP Wilaya ya Temeke kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati ili kutatua changamoto za Wananchi. RC Makalla ametoa maelekezo hayo wakati wa ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya Ujenzi wa Barabara, Madaraja na Mitaro ambayo